WANAJESHI KAMBI YA KABOYA WAPEWA ELIMU KUHUSU UGONJWA WA MARBURG.
Katika jitihada za Serikali za kuhakikisha kila jamii inafikiwa na elimu kuhusu tahadhari na kujikinga dhidi ya ugonjwa wa Marburg baada ya kuripotiwa Mkoani Kagera, Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) Kambi ya Kaboya Wilayani Muleba Mkoani Kagera wamevutiwa na hatua zinazofanywa na Wizara ya Afya za uelimishaji kuhusu tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huo. Akizungumza mara baada ya kutembelea kutoa elimu katika kambi ya
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed